Monday, 18 July 2016
FANYA MAAMUZI SAHIHI
Maisha uliyonayo sasa ni matokeo ya maamuzi unayoyafanya kila siku kwenye maisha yako. Maamuzi yoyote unayoyafanya kila siku, yana uwezo wa kufanya maisha yako ya kesho kuwa mazuri au mabaya.
Kwa mfano, upo hapo na maisha yako hivyo kwa sababu ya maamuzi kadhaa ambayo ulishawahi kuyafanya kipindi cha nyuma. Maamuzi yako uliyokuwa ukiyafanya iwe kwa kujua au kutokujua ndiyo yaliyokufikisha hapo.
Kwa hiyo unaona ili kufanikiwa, maaumuzi mazuri ni kitu cha msingi sana. bila kuwa na maamuzi ya msingi itakuwa ni ndoto kubwa kufikia mafanikio. Ndio maana kila wakati unatakiwa ujiulize maamuzi ninayo yafanya sasa yanajenga maisha yangu au yanabomoa.
Soma; Mafanikio Na Utajiri Unaoutafata, Yanategemea Sana Kitu Hiki.
Ukishajua aina ya maamuzi sahihi unayotakiwa kuyafanya itakusaidia sana kubadilisha maisha yako. kwa kawaida wengi huwa ni watu wa kuharibu maisha yao kwa kufanya maamuzi yasiyo na miguu wala kichwa. Kwa kifupi wanafanya maamuzi yanayo wagharimu sana.
Ili kufanikiwa tunaona, ni lazima kujijengea maamuzi sahihi yanayokuongoza kwenye mafanikio. Kupitia makala hii leo, tutajifunza aina ya maamuzii ambayo ukiyafuata kila wakati yatabadilisha misha yako kabisa. Je, ni maamuzi yapi sahihi unayotakiwa kuyafata ili yakupe mabadiliko ya kweli?
1. Uamuzi wa kuchagua kufikiri.
Tatizo walilonalo watu wengi ni watu wa kuwaza tu na sio kufikiri. Naona unashangaa unawaza naongea kitu gani? Sikiliza, ipo tofauti kubwa kati ya kufikiri na kuwaza.
Kufikiri ni mchakato unakufanya ukupe majibu juu ya suluhisho la matatizo yako. Unapokuwa unafikiri unakuwa unaweza ni nini ufanye ili uwaze kufanikiwa au kutoka kwenye hali ngumu uliyonayo.
Lakini unapowaza, unakuwa hutafuti sana suluhisho la mambo yako, zaidi unakuwa unaongozwa na matukio ya kawaida. Sasa ili uweze kufanikiwa ni lazima sana kwako wewe kufikiri na kupata majibu ya kie unachokitaka.
Ni muhimu kuchagua kufikiri kwa sababu hiyo itakupa mafanikio makubwa. Jiulize binafsi unafikiri au unawaza tu. Kama unawaza tu, elewa kufikia mafanikio yako itakuwa ni ngumu sana.
Soma; Kama Unataka Mafanikio Makubwa, Anza Kubadili Kitu Hiki Kwanza.
2. Uamuzi wa kuchagua kile tunachokizingatia.
Kile unachokizingatia sana kwenye akili yako ndicho unachokipata. Hauwezi kupata kitu ambacho hujakiweka kwenye akili yako. Kila wakati angalia ni kipi unachokizingatia sana na kukiwaza kila wakati kwenye akili yako? Kwani hicho bila shaka ndicho utakachokipata bila wasiwasi.
Unaweza ukawa shahidi katika hilo, hebu angalia yale mambo yote uliyoyatimiza kwenye maisha yako. Ukifatilia utagundua kwamba mambo hayo uliyazingatia sana kwenye akili yako kwa namna moja au nyingine ndiyo uliyoyapata. Hivyo, ni muhimu kuwa na uamuzi wa kuzingatia kile unachokitaka, utakipata hicho.
3. Uamuzi wa kuchagua kupanga mipango bora.
Kuchagua kufikiri vizuri na kuchagua kile tunachikizingatia hiyo peke yake haitoshi. Ili kuweza kubadilisha maisha yako kabisa pia unatakiwa pia kujiwekea mipango bora. Ni lazima kuweza kukaa chini na kupanga kitu gani ni unachokitaka katika maisha yako.
Ukiishi tu kiholela bila kujiwekea mipango mizuri hiyo itakusumbua sana hata kufikia mafanikio yako makubwa. Watu wenye mafanikio makubwa ni watu wa kuishi kwa mipango mizuri ambayo badaae huamua kuisimamia mpaka itimie.
Soma; Mambo 6 Yatakayokufanya Uzidi Kuwa bora Na Mwenye Mafanikio Makubwa.
4. Uamuzi wa kuchukua hatua.
Kupanga mipango mizuri pekee hakutasaidia kama hatua sahihi hazitachukuliwa. Hivyo, hatua ni kitu cha muhimu sana ambacho kila wakati unatakiwa kukizingatia ii kuweza kufanikiwa. Bila kuzingatia kuchukua hatua kwa hakika hiyo inakuwa ni sawa na kazi bure.
Kumbuka kwa kuzingatia kila wakati uamuzi wa kuchagua kufikiri, uamuzi wa kuchagua kile tunachokizingatia, uamuzi wa kuchagua mipango bora na uamuzi wa kuchukua hatua dhidi ya maisha yako, hiyo itakusaidia sana kwako wewe kuweza kufanikiwa na kubadilisha maisha yako.
Nikutakie siku njema na endelea kutembelea AMKA MTANZANIA kila siku.
Kwa makala nyingine nzuri, tembelea
DIRA YA MAFANIKIO kuweza kujifunza zaidi.
DAIMA TUPO PAMOJA MPAKA MAISHA YAKO YAIMARIKE,
Ni wako rafiki,
Imani Ngwangwalu,
Simu; 0713 048035,
Email; dirayamafanikio@gmail.com
youthdevelopment22.blogspot.com
A Letter to My Sons About Pornography
My Dear Sons,
The eye beholds much good and evil in this life. Beholding leads to becoming. What we continually put before our eyes and minds will shape and determine who we are. Images either tell the truth or lie, but they all speak. On top of this, our natural eyes are lustful things not easily satisfied (1 John 2:16 ). One lustful look can change us. One look can feed the monster within so that it rears up its ugly head looking for more.
“Feed me,” he says. His appetite is fierce and unsatisfied. One look leads to another, and then to many more.
This is the kingdom of sexual lust — a world of soft porn and free porn — and secrets contained in cleared web browsers. What you behold, boys, you become. If you steep your tea too long, it becomes bitter. Likewise, if you sit and soak in pornographic fantasies, your life will have a bitter taste.
At first the flavors might taste sweet, but bitterness will always be the end result. And the bitterness will be shared someday in your interactions with girls: how you think about girls, talk to girls, treat girls, and pursue girls.
A Wicked Education in Sex
Pornography misshapes your vision of girls, whether you realize it or not. And one day, pornography might affect your future wife. The women gleaming on the computer screen may not directly feel the effects of your lust, but they will indirectly, as you fuel the industry that enslaves and trafficks them.
But the images cannot feel the painful grief and loss a wife feels when her husband’s hidden sins are inevitably revealed. I plead with you to not let the tea steep that long; to not let one look turn into thousands of looks over the course of years. If this happens, you will taste the bitterness, my sons, and you will want to spit it out.
Lust distorts the glory of both biblical manhood and womanhood; it goes against the divine mandate in the garden of Eden. Men are to care for women — and provide and protect with humble strength — not exploit and dominate. Women are strong, capable, and your equal, not objects to be used and discarded.
But the porn industry diminishes both men and women, and reduces them all the way down to simple actors of animal lust for pixilation, instead of celebrating them as complex and glorious image-bearers of their Creator. This is the consumer society we live in, devaluing human beings as they’re offered up for consumption. The porn industry is lining online aisles with a sexual zoo for viewing pleasure.
A Far Better Place to Look
You, my sons, are called by God to reject sexual consumerism. You are called by Christ to seek pleasure in him, and to pour out your life in selfless giving to God and to others.
Jesus Christ is the opposite of pornography. Jesus lived a life of denial and sacrifice. No lust, ever. Sex for him was unnecessary, even as he imaged God perfectly. He became the least and the last in order to put us first. Pornography is self-exalting. It is putting your pleasures and desires first, before the glory of God and the good of others. Since Christ is the opposite of pornography, then look to Christ in your fight against sexual temptation and sin. When you behold Christ you will become like him.
“For God, who said, ‘Let light shine out of darkness,’ has shone in our hearts to give the light of the knowledge of the glory of God in the face of Jesus Christ” (2 Corinthians 4:6 ).
Look upon his face, and pornography will begin to look strangely dim.
A Safe Place After Sexual Failure
When Moses asked God to show him his glory (Exodus 33:18 ), the glory of God in the gospel of Jesus Christ had not yet been fully revealed. How much more glorious is it for you, when you ask God to show you his glory now after the cross and resurrection? You only have to read about this glory in God’s word, and meditate upon it in your hearts and minds. You will be changed. “How can a young man keep his way pure? By guarding it according to your word” (Psalm 119:9 ).
And if you are drawn into the illicit pleasures of the internet, remember the words of Robert Murray McCheyne, “For every look at yourself, take ten looks at Christ.” One look at your sinful self calls for ten looks at Christ nailed to a cross for you. Being in Christ is the only qualification we need to behold his glory, even after we have sinned. He alone is the cure and the prevention for your sin.
Be Thou My Vision
Remember what Jesus said in Matthew 6:22 :
“The eye is the lamp of the body. So, if your eye is healthy, your whole body will be full of light.”
A healthy eye connotes clear vision, and you will have a spiritually healthy way of looking at things (like the gift of sex). But your eyes can lie to you if you only see with them and not through them. The eye can distort your heart and mind if you are using it only to see what is directly in front of you. When your eyes are filled with the glory of God in Christ, you will clearly see through the distorting lies of lust.
Before Daddy and I had you boys, we planned our wedding. I wanted to play my favorite hymn, “Be Thou My Vision,” before I walked down the aisle. My prayer was that Christ would always be my vision in marriage, but now that prayer surrounds you both as well. I pray Christ would be your vision in all of life — that your eyes would be filled with glory leading to truth and life and joy. What you put before your eyes will change you. May it fill you with light, and not darkness.
