Youth development
kijana kwanza
Thursday, 27 October 2016
MATOKEO YA DARASA LA SABA
INGIA HAPA KUPATA MATOKEO YA DARASA LA SABA!!!
HONGERA KWAO WOTE WALIOPATA WASTANI WA KWENDA SECONDARY.
Thursday, 29 September 2016
UCHAMBUZI WA KITAB: STUNNING ON SUCCESS BY SHARMAS. SEHEMU YA PILI
![]() |
| Public speaking, Robin Sharma's |
- The secret to genius is not genetics but daily practice married with relentless perseverance.
- The best leaders lift people up versus tear people down.
- The most precious resource for business-people is not their time. It’s their energy. Manage it well.
- The fears you run from run to you.
- The most dangerous place is in your safety zone.
- The more you go to your limits, the more your limits will expand.
- Every moment in front of a customer is a gorgeous opportunity to live your values.
- Be so good at what you do that no one else in the world can do what you do.
- You’ll never go wrong in doing what is right.
- It generally takes about 10 years to become an overnight sensation.
- Never leave the site of a strong idea without doing something to execute around it.
- A strong foundation at home sets you up for a strong foundation at work.
- Never miss a moment to encourage someone you work with.
- Saying “I’ll try” really means “I’m not really committed.”
- The secret of passion is purpose.
Uongozi is ni kuwa responsible, be accountable, bila kujali nafasi, cheo au u boss wa mtu, Kila mtu alizaliwa kiongozi. Katika ofisi yeyote, kila mtu ni kiongozi, uongozi hujionyesha pale mtu anapokua responsible na nafasi aliyopewa, kufanya kazi yako kwa umakini kunaonyesha nafasi ya uongozi katika nafasi unayo fanya.
Matokeo yeyote katika taasisi yeyote ni matokeo ya uongozi uliofanywa na kila mtu katika taasisi. Bila kujali cheo, au uboss wa mtu yeyote.Hivyo napenda kuhitimisha katika eneo hili kuwa kila mtu ni kiongozi, kila mtu ana namna ya kudhihirisha uongozi wake bila kujali nafasi, cheo au utajiri wa mtu. Niseme tu, leadership is about responsibility, its an attitude, and each one of us was blessed with.
What will you do to be the leader that you are destined to be, today? (II)WORLD CLASS LANGUAGE.
Kitabu hiki "little black book on stunning for success" ni mtiriko wa vichwa mbalimbali ambavyo vimezungumziwa katika kitabu hiki. Hivyo tutachambua angalau vichwa(titles) mbili kila siku. Mwandishi katika word class language anajaribu kuzungumzia lugha na mtazamo ambao mtu anakua nao.
Siku zote maneno yana nguvu sana, ukiamini katika maneno ya kushindwa basi hakika utashindwa ila ukiamini katika lugha ya fursa , nafasi, ushindi basi utafanikiwa sana. mwandishi anasema, tuna uamini na kuulewa ulimwengu kupitia maneno,maneno unayoyatumia yanaelezea namna unavyo iona hali halisi.
Nukuu (quotes)
If you call a stumbling block a “problem” or “a big mess” you will create a different emotional state within you than if you call the issue “an opportunity” or “a challenge that will only make me better.”
kama ni fursa au changamoto, ni vile ambavyo unavyoielezea, kama ukiamini kila kitu ni tataizo basi akili hujenga mtazamo tofauti ila ukiamini katika fursa basi kuna nguvu ndani yake. ("Uwezo wa kutatua tatizo si ukubwa wa tatizo bali ni namna unvyolielewa tatizo Erick 2016")kinachowatofautisha watu ni namna wanavyoongea na kuzungumza, watu waliofanikiwa huzungumza lugha za uvumilivu, lugha za fursa, lugha za ushindi lugha za uongozi, lugha za upendo. hivyo ni kweli kabisa tunapitia katika changamoto nyingi, wakati mwingine unakosa ufumbuzi, wakati mwingine unaona tatizo ni kama jabali kubwa ambalo huezi kulisogeza. Nipende kukuambia kua haijalishi ukubwa wa tatizo, jijengee uwezo wa kuamini katika lugha za mafanikio, fursa, hii ndo njia ya kusogeza jabali kubwa ulilo nalo......
Nipende kukushukuru sana wewe uliyechukua nafasi kupitia makala hii, utabarikiwa sana. Naamini hadi mwisho wa kitabu utakua umejifunza mengi. Endelea kutembelea makala hii kila siku. Kwa kusoma makala hii wewe ni wa pekee sana...
Youth developmnet and empowernment & kijana kwanza Iniatives. Kmeandaliwa na Mwandishi Erick mramira (Mwanzilishi wa YEDO na Kijana kwanza Initiatives) ....................itaendelea...........................................
Friday, 23 September 2016
UCHAMBUZI WA KITABU:LITTLE BLACK BOOK ON STUNNING SUCCESS BY ROBIN SHARMA'S
“People who have achieved great success are not necessary more skillful or intelligent than others. What separate them is their burning desire and thirst for knowledge. the more on knows, the more one archieves.
Ni ukweli kabisa kinachotofautisha mtu mmoja na mwingine ni kiu na shauku ya mtu kupata maarifa, kadri mtu anavyopata maarifa mapya ndivyo anavyofanikiwa.
nichukue fursa hii kukukaribisha katika makala ndefu ya uchambuzi wa kitabu. Ni muhimu kuongeza maarifa kila siku.
Leo hii tutaanza kumzungumzia mwandishi nguli na mashuhuri kutoka canada, Robin Sharma's. Ni mwandishi aliyejizolea umaarufu sana katika tasnia ya uandishi wa vitabu. Tutaanza kwa kuzungumzia wasifu wake.
Robin sharma ni mwanasheria mwenye shahada mbili za sheria (moja wapo ikiwa shahada ya uzamili) kabla ya kuacha proffesional yake na kua mwandishi maarufu sana. Kila mtu ana upekee wake, na upekee huo unamfanya mtu awe tofauti kabisa na wenzake. Ni mwandishi nguli kabisa katika uandishi unaohusu masuala ya uongozi.
INGIA HAPA KUFAHAMU ZAIDI.
Alizaliwa mwaka 1965 na alilelewa katika familia ya yenye tamaduni za kihindi.Kitabu chake cha kwanza kilifanyiwa uhariri na mama yake mzazi kitabu kiliitwa THE MONK WHO SOLD HIS FERRARI., Kitabu hiki kinazungumzia namna ya kuwa na mazingira salama ya kazi lakini pia kufanya kazi kwa hari (high moral vaalues and excellence in work as well as in personal lives,) kabla ya kuja kuwa mwandishi maarufu na aliyeuza sana nakala mbalimbali za vitabu katika nchi zaidi ya 60 na kutafsiriwa katika lugha zaidi ya 70.
MAELEZO MENGINE
Robin Sharma is the founder, CEO and Chief Visionary Officer of Sharma Leadership International Inc. (SLI) which is a global consultancy that helps people in various organizations to realize their potential. His clients constitute most of the FORTUNE 500 companies such as Microsoft, GE, NIKE, FedEx and IBM. Organisations like NASA, Harvard Business School and Yale University are clients of SLI.
Hii ndo list ya baadhi ya vitabu vilivyoandikwa na sharma's
Friday, 5 August 2016
SEHEMU YA (2) UTOFAUTI WAKO UNAKUTOFAUTISHAJE?
SEHEMU YA PILI (2) UTOFAUTI WAKO UNAKUTOFAUTISHAJE?
Habari za wakati huu kijana na msomaji wa makala hii kutoka katika tovuti ya mendeleo kwa vijana. Ni matumaini yangu kua ni mzima wa afya na unaendelea kutekeleza majukumu yako ya kila siku. Nipende kukutia moyo tu amini katika kile unacho kifanya, Mwanafalsafa mmoja aliwahi kusema hatuwezi kubadilisha hali ilivyo ila tunaweza kubadilisha mcho yanayo ona hali halisi ( we can not change the reality but we can change the eyes that see reality)
Katika makala ya leo tutaangalia umuhimu wa kua tofauti, nnaposema tofauti namaanisha namna ambavyo watu wengine wanakuona. Ili uweze kuonekana tofauti lazima wewe mwenyewe utengeneze utofauti ndani yako. Kila mtu yuko vile alivyo na hakuna hata mmoja anafanana na mwingine.Ukiona tabia zako zainafanana na mwingine basi jua bado hujatambua utofauti wako.
Nataka nikuambie kuna nguvu katika kua tofauti, Mtu mwenye tabia flani, huhitaji nguvu sana kumtambua. Utofauti wako ndio unakufanya uishi au ukae na jamii flani, hivyo kua tofauti kuna fanya uambatane na makundi flani. Hivyo basi utofauti wako huambatana kwa kiasi kikubwa na tabia yako, Maisha yako ya kila siku yanatengeneza utofauti wako. Wakti mwingine unajikuta un associate na watu wengi pasipokukujua nini kinafanya wawe karibu na wewe. Kua karibu na watu hauhitaji pesa au cheo ili ufahamike, hata kama huna pesa au mali kunaweza kusababisha wewe kukutana na watu wa tofauti kulingana na utofauti wako. Tunapaswa kua na utofauti ambao unaweza kukutambulisha kwa watu bila wewe kujitambulisha. Utofauti wako unaweza kukutanisha na fursa ambazo ulikua hutarajii kukutana nazo. Utofauti huo ndio unasababisha promotion(kupandishwa cheo) au kutunukiwa heshima mbalimbali. Utofauti wako ndio utakukutanisha na viongozi mbalimbali na watu wengine wenye hadhi tofauti. Naamini kila mtu ana kitu cha tofauti ambacho kwa hakika kinaweza kukutofautisha na mwingine. Tunapaswa kutambua utofauti huo na kuanza kuufanyia kazi.
SOMO KATIKA TOVUTI: FANYA MAAMUZI SAHIHI
Nipende kukutia moyo rafiki na msomaji wa makala hii kua, popote pale unapaswa kuonyesha utofauti wako ambao utakutambulisha kwa watu wengine. Inategemea ni utofauti wa namna gani ambao unataka kua nao. Kama ni utofauti wa mindset au fikra basi watu wakutambue kwa utofauti huo na namna ya kufikiri kwako kuwe tofauti kabisa na wengine. Kama ni tabia basi watu wakutambue kwa tabia yako. Kama ni proffessionals au career yako basi jenga utofauti katika hilo ili uweze kua tofauti na wengine na wao waeze kutambua utofauti wako. Nikukumbushe tu kua utofauti wako unaeza jenga na kutengeneza kitu kikubwa sana. Napenda kumtumia Jack ma ambaye ni Founder wa Alibaba.com. Kilichomsfikisha hapo alipo ni namna alivyoweza kufikiri kwa tofauti na katika utofauti wa fikra zake ameweza kutofautishwa na makumpuni mengine ambayo yanafanya kazi sawa na yake. Hiyo ni nguvu ya kua na fikra tofauti ambazo zimeleta mabadiliko na tofauti kubwa katika ulimwengu wa online business au biashara kwa njia ya mtandao.
Tatizo lilopo kwa sasa, kulingana na utandawazi na mbadilko katika ulimwengu wa sasa, tunajikuta wote tunataka kufanana na ulimwengu huo, ila kama tuko tayari kutumia mabadiliko hayo basi tutakua tofauti sana katika ulimwengu huu wa mabadiliko. Kila kitu kina badilika, mtoto anayezaliwa sasa hivi haezi jua kama kulikua na tape au kanda kwa sababu amezaliwa zama za CD na DVD, haezi jua kama watu walikua wakitumia tv za chogo kwa sababu amezaliwa zama za flat Screen. Nini kinafnya haya yote, Ni utayari wa watu wachache walioamua kua na utofauti wa kifikra na wakafikiri kwa namna ya utofuti na ndo maana leo hii tunaona utofauti wao.
Katika kila jambo unalolifanya jaribu kua tofauti, wote tunaeza kua na jibu sawa lakini njia za ukokotoji zikatofautiana. Tusitamani wote kua na njia moja bali njia zetu zitofautiane ili tuonyeshe utofauti. Nipende kusema tuu, Utofauti wako ni wa muhimu sana cha kufanya ni kujaribu tu kuufanyia kazi ili uwe wa kitofauti.
Kuchukua muda wako na kusoma makala hii, WEWE NI WA TOFAUTI SANA, Utayari wa kusoma hii blog ina maanisha mawazo yako yana utofauti na unataka kua tofauti kwa kuongeza maarifa tofauti, YOUR the Best!
Nipende kukushukuru kwa kuchukua muda wako na kusoma makala hii!
Unaweza kuacha maoni yako au kuendelea kusoma makala mbalimbali katika tovuti hii! Makala hii imeandaliwa na
Erick MramiraMwezeshaji na mpenda maendeleo kwa vijana
www.youthdevelopment22.blog spot.com
Kijana kwanza!
Monday, 25 July 2016
SURA YA KWANZA (1) AMINI KATIKA IMANI YA KILE UNACHO KIAMINI
Habari za wakati huu vijana na viongozi wenzangu, Napenda kuchukua Fursa hii kabisa kwa moyo mkunjufu kukukaribisha katika mfululizo wa makala mbalimbali katika ukurasa huu. Nipende kuchukua fursa hii kukushukuru wewe unayesoma makala hii. Umefanya uamuzi sahihi sana.
Leo hii naanza na mfano huu, Baba mmoja alikua na watoto wawili, ila mtoto mmoja alikua anahisi kua baba yake ana dhahabu kubwa na ameificha katika sehemu moja wapo ya nyumba yao. Mbele ya nyumba yao kulikua na hekari kumi za shamba. Ilifika wakati baba yao akaugua sana na Kabla ya kufa, baba alisikika akisema, "Hekari kumi!" Hekari kumi!" Hekari Kumi" Moja kwa moja Yule kijana wa kiume alivyosikia maneno hayo akajua fika dhahabu iko kwenye shamba lao. Baada ya kumalizisha mazishi, wakaanza kutafuta dhahabu shambani, wakifyeka na kusafisha shamba, hata baada ya kumaliza hekari kumi hawakupata chochote, Kaka yao mkubwa alipofika akasema, "mmefanya vyema sana, haya na tuoteshe mahindi! Haikua rahisi kumuelewa, kwa sababu walikua wanataka dhahabu na sio mahindi. Ila Baada ya msimu mmoja wale vijana walivuna mazao mengi ambayo kwa baba yao ndo ilikua dhabu yake! (moral of the story, it is the combination of mindset and the process that will lead to good outcome)
Kuna nguvu katika imani ya kile unacho kiamini. Chochote tunacho kifanya lazima uwe na imani nacho, Kubali ukweli kwamba itachukua muda lakini amini kua lazima kitokee unacho kiamini. Watu wengi wamekua na mitazamo mizuri lakini hukatizwa na fikra zilizojaa uoga (fear) hivyo kutofikia yale ambayo wanayaamini. Kila kitu huchukua muda na amini katika muda. Usikatishwe tamaa na mazingira, marafiki, ndugu kwamba huezi fikia jambo ambalo unaliamini.
Jack Ma founder wa Alibaba.com katika ten Principles of SUCCESS aliwahi kusema kua, get used to rejections, kubali kukataliwa, sio kila mtu ataamini kile unacho kifikiri wala unachosema na usitake waamini kwa sababu ipo siku wataamini bila hata kuwaambia.
Hivyo napenda kukutia moyo, kua na imani ya kile unacho kiamini, Kama ni Mahusiano, Just amini tu kwamba kuna wanaume wazuri wengi wapo na wanawake wazuri wapo, Kama ni kazi fanya kazi tu ana amini katika kufanikiwa, Kama ni kupata kazi amini tu kwamba utapata na utafanikiwa, Kama ni mke mwema amini tu kua utapata hata kama itachukua mda. Kinachowatokea wengi ni kua Huamini katika kushindwa na uoga, Uoga unapotawala mawazo yako unakuletea mitazamo hasi (negative emotions) ambazo zikizdi basi hutawala mitazamo chanya uliyo nayo (positive emotions). Hi husababisha kupoteza mwelekeo wa kile unacho kiamini na uoga unakua ugonjwa wako wa akili (mental disease) kutokana na namna uoga ulivyokuzoea.
Hivyo napenda kumalizia kua kuna nguvu na siri kubwa katika kuamini, Mafanikio yako yanatokana na namna unavyofikiri. Kila siku kua na mitazamo ya ushindi na hilo ndo litakua nguvu yako. Kumbuka kila mtu ni kama mgodi wa madini, Kila mtu ana madini ghali hivyo ni nmna gani ya kuyatumia madini uliyo nayo. Hakuna madini yanayopatikana kirahisi, inahitaji mbinu, na kuamini kua kuna madini ndani yako tena madini ghali kabisa. Hivyo usikatishwe na Umbali wa kupata hayo madini ila jua yako ndani yako na lazima uyapate!!
Uwe na wakati mzuri katika kulijenga Taifa! unaweza kuacha maoni yako au kufollow hii page kwa njia email!
Ni mimi kijana mwenzio na Mwalimu wako Erick Mramira!
AMINI KATIKA IMANI YA KILE UNACHO KIAMINI!!!!
Monday, 18 July 2016
FANYA MAAMUZI SAHIHI
Maisha uliyonayo sasa ni matokeo ya maamuzi unayoyafanya kila siku kwenye maisha yako. Maamuzi yoyote unayoyafanya kila siku, yana uwezo wa kufanya maisha yako ya kesho kuwa mazuri au mabaya.
Kwa mfano, upo hapo na maisha yako hivyo kwa sababu ya maamuzi kadhaa ambayo ulishawahi kuyafanya kipindi cha nyuma. Maamuzi yako uliyokuwa ukiyafanya iwe kwa kujua au kutokujua ndiyo yaliyokufikisha hapo.
Kwa hiyo unaona ili kufanikiwa, maaumuzi mazuri ni kitu cha msingi sana. bila kuwa na maamuzi ya msingi itakuwa ni ndoto kubwa kufikia mafanikio. Ndio maana kila wakati unatakiwa ujiulize maamuzi ninayo yafanya sasa yanajenga maisha yangu au yanabomoa.
Soma; Mafanikio Na Utajiri Unaoutafata, Yanategemea Sana Kitu Hiki.
Ukishajua aina ya maamuzi sahihi unayotakiwa kuyafanya itakusaidia sana kubadilisha maisha yako. kwa kawaida wengi huwa ni watu wa kuharibu maisha yao kwa kufanya maamuzi yasiyo na miguu wala kichwa. Kwa kifupi wanafanya maamuzi yanayo wagharimu sana.
Ili kufanikiwa tunaona, ni lazima kujijengea maamuzi sahihi yanayokuongoza kwenye mafanikio. Kupitia makala hii leo, tutajifunza aina ya maamuzii ambayo ukiyafuata kila wakati yatabadilisha misha yako kabisa. Je, ni maamuzi yapi sahihi unayotakiwa kuyafata ili yakupe mabadiliko ya kweli?
1. Uamuzi wa kuchagua kufikiri.
Tatizo walilonalo watu wengi ni watu wa kuwaza tu na sio kufikiri. Naona unashangaa unawaza naongea kitu gani? Sikiliza, ipo tofauti kubwa kati ya kufikiri na kuwaza.
Kufikiri ni mchakato unakufanya ukupe majibu juu ya suluhisho la matatizo yako. Unapokuwa unafikiri unakuwa unaweza ni nini ufanye ili uwaze kufanikiwa au kutoka kwenye hali ngumu uliyonayo.
Lakini unapowaza, unakuwa hutafuti sana suluhisho la mambo yako, zaidi unakuwa unaongozwa na matukio ya kawaida. Sasa ili uweze kufanikiwa ni lazima sana kwako wewe kufikiri na kupata majibu ya kie unachokitaka.
Ni muhimu kuchagua kufikiri kwa sababu hiyo itakupa mafanikio makubwa. Jiulize binafsi unafikiri au unawaza tu. Kama unawaza tu, elewa kufikia mafanikio yako itakuwa ni ngumu sana.
Soma; Kama Unataka Mafanikio Makubwa, Anza Kubadili Kitu Hiki Kwanza.
2. Uamuzi wa kuchagua kile tunachokizingatia.
Kile unachokizingatia sana kwenye akili yako ndicho unachokipata. Hauwezi kupata kitu ambacho hujakiweka kwenye akili yako. Kila wakati angalia ni kipi unachokizingatia sana na kukiwaza kila wakati kwenye akili yako? Kwani hicho bila shaka ndicho utakachokipata bila wasiwasi.
Unaweza ukawa shahidi katika hilo, hebu angalia yale mambo yote uliyoyatimiza kwenye maisha yako. Ukifatilia utagundua kwamba mambo hayo uliyazingatia sana kwenye akili yako kwa namna moja au nyingine ndiyo uliyoyapata. Hivyo, ni muhimu kuwa na uamuzi wa kuzingatia kile unachokitaka, utakipata hicho.
3. Uamuzi wa kuchagua kupanga mipango bora.
Kuchagua kufikiri vizuri na kuchagua kile tunachikizingatia hiyo peke yake haitoshi. Ili kuweza kubadilisha maisha yako kabisa pia unatakiwa pia kujiwekea mipango bora. Ni lazima kuweza kukaa chini na kupanga kitu gani ni unachokitaka katika maisha yako.
Ukiishi tu kiholela bila kujiwekea mipango mizuri hiyo itakusumbua sana hata kufikia mafanikio yako makubwa. Watu wenye mafanikio makubwa ni watu wa kuishi kwa mipango mizuri ambayo badaae huamua kuisimamia mpaka itimie.
Soma; Mambo 6 Yatakayokufanya Uzidi Kuwa bora Na Mwenye Mafanikio Makubwa.
4. Uamuzi wa kuchukua hatua.
Kupanga mipango mizuri pekee hakutasaidia kama hatua sahihi hazitachukuliwa. Hivyo, hatua ni kitu cha muhimu sana ambacho kila wakati unatakiwa kukizingatia ii kuweza kufanikiwa. Bila kuzingatia kuchukua hatua kwa hakika hiyo inakuwa ni sawa na kazi bure.
Kumbuka kwa kuzingatia kila wakati uamuzi wa kuchagua kufikiri, uamuzi wa kuchagua kile tunachokizingatia, uamuzi wa kuchagua mipango bora na uamuzi wa kuchukua hatua dhidi ya maisha yako, hiyo itakusaidia sana kwako wewe kuweza kufanikiwa na kubadilisha maisha yako.
Nikutakie siku njema na endelea kutembelea AMKA MTANZANIA kila siku.
Kwa makala nyingine nzuri, tembelea
DIRA YA MAFANIKIO kuweza kujifunza zaidi.
DAIMA TUPO PAMOJA MPAKA MAISHA YAKO YAIMARIKE,
Ni wako rafiki,
Imani Ngwangwalu,
Simu; 0713 048035,
Email; dirayamafanikio@gmail.com
youthdevelopment22.blogspot.com
A Letter to My Sons About Pornography
My Dear Sons,
The eye beholds much good and evil in this life. Beholding leads to becoming. What we continually put before our eyes and minds will shape and determine who we are. Images either tell the truth or lie, but they all speak. On top of this, our natural eyes are lustful things not easily satisfied (1 John 2:16 ). One lustful look can change us. One look can feed the monster within so that it rears up its ugly head looking for more.
“Feed me,” he says. His appetite is fierce and unsatisfied. One look leads to another, and then to many more.
This is the kingdom of sexual lust — a world of soft porn and free porn — and secrets contained in cleared web browsers. What you behold, boys, you become. If you steep your tea too long, it becomes bitter. Likewise, if you sit and soak in pornographic fantasies, your life will have a bitter taste.
At first the flavors might taste sweet, but bitterness will always be the end result. And the bitterness will be shared someday in your interactions with girls: how you think about girls, talk to girls, treat girls, and pursue girls.
A Wicked Education in Sex
Pornography misshapes your vision of girls, whether you realize it or not. And one day, pornography might affect your future wife. The women gleaming on the computer screen may not directly feel the effects of your lust, but they will indirectly, as you fuel the industry that enslaves and trafficks them.
But the images cannot feel the painful grief and loss a wife feels when her husband’s hidden sins are inevitably revealed. I plead with you to not let the tea steep that long; to not let one look turn into thousands of looks over the course of years. If this happens, you will taste the bitterness, my sons, and you will want to spit it out.
Lust distorts the glory of both biblical manhood and womanhood; it goes against the divine mandate in the garden of Eden. Men are to care for women — and provide and protect with humble strength — not exploit and dominate. Women are strong, capable, and your equal, not objects to be used and discarded.
But the porn industry diminishes both men and women, and reduces them all the way down to simple actors of animal lust for pixilation, instead of celebrating them as complex and glorious image-bearers of their Creator. This is the consumer society we live in, devaluing human beings as they’re offered up for consumption. The porn industry is lining online aisles with a sexual zoo for viewing pleasure.
A Far Better Place to Look
You, my sons, are called by God to reject sexual consumerism. You are called by Christ to seek pleasure in him, and to pour out your life in selfless giving to God and to others.
Jesus Christ is the opposite of pornography. Jesus lived a life of denial and sacrifice. No lust, ever. Sex for him was unnecessary, even as he imaged God perfectly. He became the least and the last in order to put us first. Pornography is self-exalting. It is putting your pleasures and desires first, before the glory of God and the good of others. Since Christ is the opposite of pornography, then look to Christ in your fight against sexual temptation and sin. When you behold Christ you will become like him.
“For God, who said, ‘Let light shine out of darkness,’ has shone in our hearts to give the light of the knowledge of the glory of God in the face of Jesus Christ” (2 Corinthians 4:6 ).
Look upon his face, and pornography will begin to look strangely dim.
A Safe Place After Sexual Failure
When Moses asked God to show him his glory (Exodus 33:18 ), the glory of God in the gospel of Jesus Christ had not yet been fully revealed. How much more glorious is it for you, when you ask God to show you his glory now after the cross and resurrection? You only have to read about this glory in God’s word, and meditate upon it in your hearts and minds. You will be changed. “How can a young man keep his way pure? By guarding it according to your word” (Psalm 119:9 ).
And if you are drawn into the illicit pleasures of the internet, remember the words of Robert Murray McCheyne, “For every look at yourself, take ten looks at Christ.” One look at your sinful self calls for ten looks at Christ nailed to a cross for you. Being in Christ is the only qualification we need to behold his glory, even after we have sinned. He alone is the cure and the prevention for your sin.
Be Thou My Vision
Remember what Jesus said in Matthew 6:22 :
“The eye is the lamp of the body. So, if your eye is healthy, your whole body will be full of light.”
A healthy eye connotes clear vision, and you will have a spiritually healthy way of looking at things (like the gift of sex). But your eyes can lie to you if you only see with them and not through them. The eye can distort your heart and mind if you are using it only to see what is directly in front of you. When your eyes are filled with the glory of God in Christ, you will clearly see through the distorting lies of lust.
Before Daddy and I had you boys, we planned our wedding. I wanted to play my favorite hymn, “Be Thou My Vision,” before I walked down the aisle. My prayer was that Christ would always be my vision in marriage, but now that prayer surrounds you both as well. I pray Christ would be your vision in all of life — that your eyes would be filled with glory leading to truth and life and joy. What you put before your eyes will change you. May it fill you with light, and not darkness.






